Masharti ya Matumizi — TSAH

Shule inakubali kutumia mfumo kwa ada iliyokubaliwa na TSAH. Kiongozi wa mfumo anaweza kusimamisha huduma ikiwa malipo yamechelewa.

Wajibu wa shule

  • Kuhakikisha taarifa za wanafunzi ni sahihi
  • Kupata idhini ya wazazi kwa SMS na data ya watoto
  • Kulinda akaunti za walimu (nenosiri imara)

HUDUMA

Mfumo unatolewa “kama ulivyo”. TSAH inajitahidi uptime na backup lakini shule inapaswa kuweka nakala za ripoti muhimu.

Soma kuhusu mfumo · Faragha · Ingia