Masharti ya Matumizi — TSAH
Shule inakubali kutumia mfumo kwa ada iliyokubaliwa na TSAH. Kiongozi wa mfumo anaweza kusimamisha huduma ikiwa malipo yamechelewa.
Wajibu wa shule
- Kuhakikisha taarifa za wanafunzi ni sahihi
- Kupata idhini ya wazazi kwa SMS na data ya watoto
- Kulinda akaunti za walimu (nenosiri imara)
HUDUMA
Mfumo unatolewa “kama ulivyo”. TSAH inajitahidi uptime na backup lakini shule inapaswa kuweka nakala za ripoti muhimu.