Sera ya Faragha — TSAH
2026-06-15
TSAH inahifadhi data za shule, wanafunzi, walimu na wazazi kwa usimamizi wa kitaaluma na ada.
Data
Jina, darasa, alama, mahudhurio, simu ya mzazi, malipo — zinatumika ndani ya shule yako na kwa huduma ya TSAH.
Usalama
Tumia HTTPS, nenosiri imara, na backup. Data haiuzwi kwa wahusika wengine.